RAIS DKT. HUSSEIN MWINYI AKUTANA NA VIONGOZI WA UWT
Na Mwandishi Wetu Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo January 16 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ,Ikulu Zanzibar. Uongozi wa Jumuiya hiyo uliongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed